TOP 10 YA KAULI ZENYE CHANGAMOTO…
1. Mtakula nyasi ndege ya rais inunuliwe – Mramba
2. Graduate msio na kazi kafugeni kuku biashara inalipa sana – Mahiza
3. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora – JK
4. Acheni wivu wa kike – Msekwa
5. Asieweza lipa nauli apige mbizi – Magufuli
6. Baada ya kutumia helkopta ya jeshi kwenda nayo kwao urambo – mlitaka nipande punda – Kapuya
7. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia makalio – Masaburi
9. Mnauliza mvua kwani mi waziri wa mvua – Wassira
10. Ngeleja kila siku ananinunulia chai wakati nina uwezo wakujilipia – Anne kilango
Source: SMS
Advertisement






